Tangaza Biashara yako nasi kwa Matangazo ya aina mbalimbali, Mawasiliano zaidi piga simu namba 0762 578960
Monday, December 3, 2012
AKINA MAMA NA SIKU YA WALEMAVU MBINGA
Akina mama wa mtaa wa Matarawe Mbinga mjini mkoani Ruvuma, wakicheza kwa pamoja na kufurahia sherehe za maadhimisho ya walemavu zilizofanyika kiwilaya wilayani Mbinga, mjini hapa mbele ya mgeni rasmi Ernest Kahindi (Hayupo pichani, Picha na Kassian Nyandindi)
No comments:
Post a Comment