Tangaza Biashara yako nasi kwa Matangazo ya aina mbalimbali, Mawasiliano zaidi piga simu namba 0762 578960
Monday, December 3, 2012
NAKABIDHI SHAIRI LANGU KWA KIONGOZI
Mlemavu wa ngozi(Albino) Dada Shukrani Ndunguru (kulia) akikabidhi shairi lake alilomaliza kuimba siku ya walemavu iliyoadhimishwa kiwilaya Mbinga mjini, kwa mgeni rasmi mkuu wa wilaya ya ya Nyasa Ernest Kahindi. Anayeshuhudia kulia kwa mgeni rasmi ni mkuu wa wilaya ya Mbinga Senyi Ngaga. Shairi hilo lilisheheni ujumbe ambao ukiitaka jamii na serikali kwa ujumla kuwajali watu wenye ulemavu na sio kuwabagua katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo.(Picha na Kassian Nyandindi)
No comments:
Post a Comment