Tangaza Biashara yako nasi kwa Matangazo ya aina mbalimbali, Mawasiliano zaidi piga simu namba 0762 578960
Monday, December 3, 2012
WATOTO NA SIKU YA WALEMAVU
Watoto walemavu(Albino) na wasiokuwa walemavu, wakicheza kwa pamoja kusherehekea sherehe za maadhimisho ya siku ya walemavu zilizofanyika Mbinga mjini, mkoani Ruvuma mbele ya mgeni rasmi mkuu wa wilaya ya Nyasa Ernest Kahindi. (Hayupo pichani). (Picha na Kassian Nyandindi)
No comments:
Post a Comment