Tangaza Biashara yako nasi kwa Matangazo ya aina mbalimbali, Mawasiliano zaidi piga simu namba 0762 578960
Sunday, December 9, 2012
HII NI RAMANI HALISI INAYOONESHA ENEO LA MRADI
Waandishi wa habari wa mkoa wa Ruvuma na wataalamu wa Mantra Tanzania, wakiwa wameizunguka ramani(Iliyowekwa chini) ambayo inaonesha eneo halisi linalofanyiwa utafiti na litakalochimbwa madini hayo mara baada ya serikali kutoa kibali chake.(Picha na Kassian Nyandindi)
No comments:
Post a Comment