Wahariri
wa vyombo mbalimbali vya habari wakiwa makini katika kusikiliza wakati
Waziri Balozi Khamis Kagasheki akizungumza katika mkutano huo.
Balozi Khamis Kagasheki akisisitiza jambo wakati akifungua mkutano huo kwenye ukumbi wa Siasa na Kilimo mjini Iringa
Mkuu
wa mkoa wa Iringa Dr. Christine Ishengoma akizungumza katika mkutano
huo wakati akimkaribisha Waziri wa Malisiali na Utalii Mh. Balozi Khamis
Kagasheki.
Waziri wa Malisili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki akiongozana na Mkuu wa mkoa wa Iringa Dr. Christine Ishengoma wakati akiwasili katika ukumbi wa mikutano wa Siasa na Kilimo mkoani Iringa ambako mkutano wa Wahariri wa vyombo vya habari na Shirika la Hifadhi za mbuga za Taifa TANAPA unafanyika.
Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya bunge ya Ardhi Mazingira Ndugu James Lembeli akiingia kwenye ukumbi wa mkutano huku akiwa ameongozana na Mkurugenzi wa TANAPA Ndugu Allan Kijazi kushoto.
Waziri
wa Maliasili na utalii Balozi Khamis Kagasheki wa pili kutoka kulia
akiwa katika mkutano huo kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi
na Mazingira Ndugu James Lembeli na kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa
TANAPA Ndugu Allan Kijazi na Mkuu wa mkoa wa Iringa Dr. Christine
Ishengoma.
Waziri
wa Maliasili na utalii Balozi Khamis Kagasheki katikati akiwa katika
mkutano huo kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya bunge ya Ardhi na Mazingira
Ndugu James Lembeli na kushoto ni mkuu wa mkoa wa Iringa Dr. Christine
Ishengoma.
Waziri
Kivuli wa Wizara ya Maliasili na Utalii Mbunge wa Iringa mjini
Mchungaji Peter Msigwa akizungumza katika mkutano huo huku Waziri wa
Maliasili Balozi Khamis Kagasheki wa pili kutoka kushoto akisikiliza,
wengine ni Ndugu James Lembeli Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi na
Mazingira na kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Iringa Dr. Christine
Ishengoma.
Mwenyekiti
wa Kamati ya bunge ya Ardhi na Mazingira Ndugu James Lembeli
akizungumza katika mkutano huo huku waziri wa Maliasili na Utalii Balozi
Khamis Kagasheki akisikiliza kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Iringa Dr.
Christine
Ishengoma.(Picha na kikosi kazi cha Fullshangweblogspot.com)
No comments:
Post a Comment