![]() |
| Dkt. John Magufuli akizungumza mara baada ya kupokea ripoti hiyo ya uchunguzi wa mchanga wa madini uliotakiwa kusafirishwa nje ya nchi, kutoka kwenye machimbo mbalimbali ya madini hapa nchini. |
![]() |
| Nao viongozi mbalimbali wa dini na siasa hawakuwa mbali na tukio hilo wakifuatilia taarifa ya ripoti hiyo Ikulu Jijini Dar es Salaam. |





No comments:
Post a Comment