Sunday, July 19, 2015

NDILIMALITEMBO SONGEA KUONGOZWA NA DIWANI MWANDISHI WA HABARI

Mgombea nafasi ya udiwani, kata ya Ndilimalitembo katika Manispaa Songea mkoani Ruvuma kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Cresencia Kapinga kushoto, ambaye pia ni mwandishi wa habari gazeti la Majira akijibu maswali kutoka kwa waandishi wa habari mara baada ya kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea nafasi hiyo katika kata hiyo.
Cresensia Kapinga akisindikizwa, ndugu na jamaa mara baada ya kutoka kuchukua fomu hiyo ya kuwania nafasi ya udiwani katika kata hiyo.


No comments: