Tangaza Biashara yako nasi kwa Matangazo ya aina mbalimbali, Mawasiliano zaidi piga simu namba 0762 578960
Tuesday, November 20, 2012
MITAMBO YA KUSUKUMIA MAJI SONGEA
Hii ni mitambo ambayo imejengwa karibu na chanzo cha maji cha mto Luhira, mitambo hii hutumika katika shughuli ya kusukuma maji pale linapotokea tatizo la upungufu wa maji katika manispaa hiyo kama ilivyo sasa.(Picha na Kassian Nyandindi)
No comments:
Post a Comment