Friday, February 15, 2013

BRUNO KAPINGA AWATAKA WANANCHI WAJENGE USHIRIKIANO


 Diwani wa Kata ya Mkumbi wilayani Mbinga mkoa wa Ruvuma, Bruno Kapinga (aliyevaa shati la kijani) akizungumza na wakazi wa kijiji cha Mtawa katika kata hiyo, ambapo alikuwa akiwataka washirikiane kwa pamoja katika shughuli mbalimbali za ujenzi wa taifa(maendeleo) husuani kupeleka watoto wao shule.(Picha na Kassian Nyandindi)

No comments: