Saturday, February 23, 2013

WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA AGUSTIVO SEKONDARI WAKIFUATILIA KWA MAKINI MATUKIO MBALIMBALI YALIYOKUWA YAKIFANYIKA SIKU YA MAHAFALI YAO
















Baadhi ya wanafunzi wa kidato cha sita wa shule ya sekondari Agustivo iliyopo wilayani Mbinga mkoa wa Ruvuma, (waliovaa nguo nyekundu) wakiwa na wazazi wao wakifuatilia kwa makini hotuba ya mgeni rasmi katika mahafali hayo Mwenyekiti wa shirika lisilo la kiserikali la Mission Africa, Emmilian Kapinga ambaye hayupo pichani, ambapo aliwaasa wazingatie masomo huko waendako.(Picha na Julius Konala)

No comments: