Friday, February 15, 2013

WAZEE WA KIJIJI CHA MTAWA WAKIPOKEA MSAADA WA CHAKULA KUTOKA KWA DIWANI WAO



Diwani wa kata ya Mkumbi Bruno Kapinga(aliyevaa kofia na shati la kijani) akiwa pamoja na wazee wa kijiji cha Mtawa kata ya Mkumbi wilayani Mbinga akisimamia zoezi la kugawa mihogo iliyomenywa vizuri, tayari kwa kusagwa kwa ajili ya kupata unga wa kupika ugali.(Picha na Kassian Nyandindi)

No comments: