Tuesday, April 30, 2013

MWANTUMU BAKARI MAHIZA ATEULIWA KUWA SKAUTI MKUU TANZANIA

Mheshimiwa Mwantumu Mahiza.

























Na Mashirika Mbalimbali ya habari,
Dar es Salaam.

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Mwantumu Bakari Mahiza kuwa Skauti mkuu nchini.

Kwa mujibu wa barua ya Katibu mkuu kiongozi, Balozi Ombeni Sefue imesema kuwa, uteuzi wa Mahiza umeanza tangu Aprili 19 mwaka huu.

Mahiza anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Kanali mstaafu Iddi Kipingu, ambaye amemaliza muda wake.

                                     Imetolewa na:

          Kaimu Katibu mkuu, Wizara ya Elimu na mafunzo ya ufundi.

No comments: