Tuesday, June 11, 2013

KATIBU TAWALA MBINGA NA UZINDUZI WA MAGARI YA SUPERFEO EXPRESS

Katibu tawala wa wilaya ya Mbinga Idd Mponda akiwa amekaa ndani ya gari huku akiwa ameliwasha na kupiga honi....... ikiwa ni ishara ya kuzindua moja kati ya gari za kampuni ya Superfeo Express mjini Mbinga, ambazo zinataraji kuanza safari yake ya kutoka Mbinga kwenda Dar es Salaam mapema alfajiri kesho Juni 12 mwaka huu.( Picha na Kassian Nyandindi)

No comments: