Saturday, June 29, 2013

MFALME MSWATI II AWASILI JIJINI DAR ES SALAAM

 

S
b2ap3_thumbnail_01.jpg 
Mfalme Mswati II kutoka nchini Swaziland, akishuka kwenye ndege yake wakati alipowasili jijini Dar es Salaam leo.


b2ap3_thumbnail_1_20130626-180459_1.jpg
Wasaidizi wake wakiimba nyimbo za kikabila kabla ya Mfalme wao kushuka ndegeni, haikuweza kufahamika kuwa ilikuwa ni mila za kwao au walikuwa wakitambika ama nini kilikuwa kikiendelea.


b2ap3_thumbnail_02.jpg
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Mfalme Mswati wa II wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam leo Mfalme Mswati wa ii, amewasili nchini kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa 'Smat Patnership' unaotarajia kuanza Juni 28 mwaka huu.


b2ap3_thumbnail_04.jpg
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na Mfalme Mswati II, baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam,  leo.


b2ap3_thumbnail_03.jpg



b2ap3_thumbnail_05.jpg
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika mazungumzo na Mfalme Mswati II kutoka nchini Swaziland, mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam, leo Juni 28, 2013 kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa 'Smat Patnership', unaotarajia kuanza Juni 28. Kushoto ni mke wa Mfalme Mswati.

No comments: