Thursday, June 20, 2013

TAARIFA YA JESHI LA POLISI KUHUSU MLIPUKO WA BOMU ARUSHA HII HAPA

 


Inspekta Jenerali wa Polisi nchini, ametoa taarifa kwa vyombo vya habari, kisha amejibu maswali kadhaa, vitu vya msingi kwa sasa ni kuwa Taarifa Muhimu zitatolewa na Jeshi kwa wakati muafaka tena kwa usahihi, ila kwa leo amesema hadi sasa hakuna mtu anayeshikiliwa na jeshi kutokana na tuhuma za tukio hilo ingawa Ushirikiano umepatikana wa kutosha kutambua wajihi wa anayesadikiwa ndiye mtuhumiwa, lakini pili, Jeshi la Polisi litaifanyia kazi kauli ya Kiongozi mmoja wa Chama cha siasa aliyesema watu wasipochagua chama chao watakufa, watakufa kabisa.

No comments: