Monday, December 3, 2012

AKINA MAMA NA SIKU YA WALEMAVU MBINGA



 Akina mama wa mtaa wa Matarawe Mbinga mjini mkoani Ruvuma, wakicheza kwa pamoja na kufurahia sherehe za maadhimisho ya walemavu zilizofanyika kiwilaya wilayani Mbinga, mjini hapa mbele ya mgeni rasmi Ernest Kahindi (Hayupo pichani, Picha na Kassian Nyandindi)

No comments: