Thursday, December 6, 2012

ZIARA YA WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA


Waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa Shamshi Vuai Nahodha akiangalia vyakula vinavyopikwa na askari wakiwa vitani, wakati alipotembelea kambi ya mazoezi ya vikosi vya jeshi kutoka brigedi ya 401 kv Songea juzi wilayani Namtumbo. Kulia ni mkuu wa kikosi cha 411 Meja Yahaya Chausi.(Picha na Muhidin Amri)

No comments: