Monday, December 3, 2012

UCHAFU: TASWIRA KATIKA JAMII


 Watoto hawa huku hawajui wakihatarisha afya zao, walikutwa na kamera yetukatika mtaa wa KKKT Mbinga mjini mkoani Ruvuma, wakiwa wanacheza na kuzunguka katika ghuba ambalo taka na uchafu wa aina mbalimbali humwagwa hapo. Ni vyema wazazi tuwaelimishe watoto wetu waache kucheza katika maeneo machafu kama haya.

No comments: