Monday, December 3, 2012

KAHINDI: JENGENI MIUNDO MBINU RAFIKI YA WALEMAVU

 Mkuu wa wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma Ernest Kahindi, akihutubia wananchi(Hawapo pichani) waliohudhuria siku ya maadhimisho ya walemavu duniani yaliyoadhimishwa kiwilaya, wilayani Mbinga, Mbinga mjini. Katikati ni Mwenyekiti wa walemavu wa wilaya hiyo Martin Mbawala na kulia kwake ni Diwani wa kata ya Mbinga mjini Kelvin Mapunda. Katika hotuba yake Kahindi aliwataka wataalamu wa serikali na jamii kwa ujumla kujenga(majengo) miundo mbinu rafiki na mazingira ya walemavu ili waweze kuitumia kwa urahisi kulingana na maumbile yao. (Picha na Kassian Nyandindi)

No comments: