Sunday, December 9, 2012

WAANDISHI WA HABARI RUVUMA NA UTAFITI WA MADINI YA URANI NAMTUMBO

Mjiolojia mkuu wa kampuni ya Mantra Tanzania, upande wa kushoto anayezungumza, Emmanuely Nyamsika akiwapa maelezo waandishi wa habari wa mkoa wa Ruvuma juu ya mapipa yanayotumika kusafirishia URANI kwenda katika maabara za kufanyia utafiti zilizopo Jijini Mwanza na nchi za Afrika Kusini, Australia na Uingereza.Waandishi hao walitembelea leo katika eneo ambalo utafiti huo unafanyika mto Mkuju wilayani Namtumbo mkoani humo. (Picha na Kassian Nyandindi).

No comments: