Monday, December 3, 2012

WATOTO NA SIKU YA WALEMAVU



Watoto walemavu(Albino) na wasiokuwa walemavu, wakicheza kwa pamoja kusherehekea sherehe za maadhimisho ya siku ya walemavu zilizofanyika Mbinga mjini, mkoani Ruvuma mbele ya mgeni rasmi mkuu wa wilaya ya Nyasa Ernest Kahindi. (Hayupo pichani). (Picha na Kassian Nyandindi)

No comments: