Monday, December 3, 2012

DIWANI AKIFURAHIA SIKU YA WALEMAVU




Diwani wa Kata ya Mbinga mjini mkoani Ruvuma, Kelvin Mapunda (kulia) akisakata dansi wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku ya walemavu duniani yaliyoadhimishwa kiwilaya mjini hapa. (Picha na Kassian Nyandindi)

No comments: