Monday, December 3, 2012

SHEREHE YA WALEMAVU MBINGA

 Mkuu wa wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma Senyi Ngaga, (kushoto) akimkaribisha Mkuu wa wilaya ya Nyasa Ernest Kahindi aliyekaa ambaye amevaa taji, katika sherehe za kilele cha maadhimisho siku ya walemavu duniani kwa wilaya ya Mbinga yalifanyika mjini hapa na mgeni rasmi alikuwa mkuu wa wilaya hiyo ya Nyasa. Kulia ni Mwenyekiti wa Walemavu wa wilaya ya Mbinga Martin Mbawala. (Picha na Kassian Nyandindi)

No comments: