Sunday, December 9, 2012

MATANKI HAYA YANATUMIKA KUSAFIRISHIA UDONGO WENYE URANI

Baadhi ya waandishi wa habari wa mkoa wa Ruvuma(Pichani) wakimsikiliza Mjiolojia mkuu wa Mantra Tanzania, Emmanuely Nyamsika, wakati alipokuwa akitoa maelezo juu ya matanki yanayotumika kusafirishia udongo wenye madini ya Uran kwa kutumia ndege aina ya Helkopta kwa ajili ya kwenda kufanyiwa utafiti katika maabara zilizopo Mwanza hapa nchini na nje ya nchi za Australia, Afrika Kusini na Uingereza. Baada ya kufanyiwa utafiti udongo huo wenye madini hurejeshwa tena katika eneo hilo la utafiti wilayani Namtumbo. (Picha na Kassian Nyandindi)

No comments: