Thursday, December 6, 2012

TUNAONESHA PETE ZETU, HII NI ISHARA YA UPENDO




Maharusi Pascal Mwabesa na mkewe Gonzalva Lupogo wakionesha pete zao za ndoa kwa ndugu na jamaa waliofika kushuhudia ndoa yao katika kanisa la Mtakatifu Alois Gonzaga mjini Mbinga.(Picha na Muhidin Amri)

No comments: