Monday, December 3, 2012

WAKUBWA WAKITAFAKARI



Mkuu wa wilaya ya Mbinga Senyi Ngaga na wa Nyasa Ernest Kahindi, wakifuatilia kwa pamoja matukio ya michezo mbalimbali(Haipo pichani) iliyokuwa ikichezwa katika siku ya maadhimisho ya walemavu yaliyofanyika Kiwilaya Mbinga mjini. (Picha Kassian Nyandindi)

No comments: