Sunday, December 9, 2012

HII NI RAMANI HALISI INAYOONESHA ENEO LA MRADI



Waandishi wa habari wa mkoa wa Ruvuma na wataalamu wa Mantra Tanzania, wakiwa wameizunguka ramani(Iliyowekwa chini) ambayo inaonesha eneo halisi linalofanyiwa utafiti na litakalochimbwa madini hayo mara baada ya serikali kutoa kibali chake.(Picha na Kassian Nyandindi)

No comments: