Saturday, January 24, 2015

IKULU YAFANYA MABADILIKO YA MAWAZIRI

Wa kwanza kuapa alikuwa, Samwel Sitta.
Na Waandishi wetu,


Dar.

HATIMAYE Rais Kikwete Ikulu Jijini Dar es Salaam, amefanya mabadiliko madogo ya mawaziri na mawaziri hao wameapishwa, kabla ya Rais huyo kuondoka kwenda Davos Uswisi.

Mawaziri Kamili:

George Simbachawene- Waziri wa Nishati na Madini
Mary Nagu -Waziri wa nchi Mahusiano na Uratibu
Harrison Mwakyembe - Waziri wa Afrika Mashariki.
Wiliam Lukuvi - Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi
Steven Wassira - Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika
Samwel Sitta - Waziri wa Uchukuzi
Jenista Mhagama - Waziri wa Sera na Uratibu wa Bunge
Christopher Chiza- Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji


Manaibu Waziri:
 
Steven Masele - Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano
Angellah Kairuki - Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi
Ummy Mwalimu- Naibu Waziri wa Katiba na Sheria
Anna Kilango- Naibu waziri wa Elimu
Charles Mwijage - Naibu Waziri wa Nishati na Madini

Walioapishwa leo hii:

-Wa kwanza kuapa ni Samweli sitta
-Wapili kuapa ni Mary Nagu
-Watatu kuapa ni Steve Wassira
-Wanne Kuapa ni William Lukuvi
-Watano kuapa ni Christopher Chiza
-Wasita Kuapa ni Harrison Mwakyembe
-Wasaba kuapa ni George Simbachawene
-Wanane kuapa ni Jenista Muhagama
-Watisa kuapa ni Ummy Ally Mwalimu
-Wakumi kuapa ni Steven Masele
-Wakumi na moja kuapa ni Angellah Kairuki
-Wakumi na Mbili kuapa ni Anne Kilango Malecela
-Wakumi na tatu kuapa ni Charles John Mwijage

No comments: