Saturday, January 31, 2015

WAZIRI MKUU AWASILI MJINI SONGEA KUSHIRIKI SHEREHE ZA KITAIFA KUZALIWA KWA CHAMA CHA MAPINDUZI

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwasili katika uwanja wa ndege mjini Songea mkoani Ruvuma, na kulakiwa na Katibu wa Itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Nape Nnauye, kushiriki maadhimisho ya miaka 38 ya kuzaliwa CCM yanayofanyika kitaifa leo mkoani humo na mgeni rasmi ni Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete. kulia ni Katibu mkuu wa chama hicho Abdulrahman Kinana.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akiwapungia mkono wananchi na wanaccm waliofika kumlaki uwanjani hapo.

Vikundi vya sanaa vikitumbuiza wakati wa mapokezi ya Pinda, Kinana na Philip Mangula.

No comments: