Friday, April 6, 2018

TUKIO KATIKA PICHA: TASAF YAWAINUA CHINGUNGULU TUNDURU UANZISHAJI MABWAWA YA SAMAKI

Afisa uvuvi wa Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma, Rhoda Komanya aliyenyoosha mkono akiwa na Wajumbe wa Serikali ya kijiji cha Chingungulu Wilayani hapa wakiangalia bwala la mradi wa Samaki ambalo linakusudia kuwanufaisha zaidi ya walengwa 111 waliopo katika mpango wa kunusuru kaya maskini chini ya ufadhili wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Wilayani humo.

No comments: