Saturday, November 12, 2016

HATIMAYE MWILI WA SPIKA MSTAAFU SAMUEL SITTA WAZIKWA URAMBO TABORA

HATIMAYE Novemba 12 mwaka huu yamefanyika mazishi ya Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samuel John Sitta ambaye alifariki dunia Novemba 7 mwaka huu 2016 katika hospitali ya Technical University of Munich nchini Ujerumani.


Mazishi hayo yamefanyika Urambo Tabora, kwenye eneo la makaburi ya ukoo wa Sitta ambayo yapo takribani kilometa mbili kutoka nyumbani kwake marehemu Sitta. (Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi….Amen)

No comments: