Wednesday, April 26, 2017

RAIS DKT. MAGUFULI AONGOZA MAADHIMISHO MIAKA 53 YA MUUNGANO WA TANZANIA MJINI DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mjane wa Rais wa kwanza wa Zanzibar Mama Fatma Karume pamoja na mjane wa Baba wa Taifa Mama Maria Nyerere kwenye sherehe za miaka 53 ya Muungano katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye sherehe za miaka 53 ya Muungano katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye sherehe za miaka 53 ya Muungano katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mkono na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Alli Mohamed Shein kwenye sherehe za miaka 53 ya Muungano katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na walioshiriki katika zoezi la kuchanganya udongo kuasisi Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwenye sherehe za miaka 53 ya Muungano katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
Gadi ya "Komando" la vijana likiwajibika kwenye sherehe za miaka 53 ya Muungano katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
Onesho la ndege za kivita kwenye sherehe za miaka 53 ya Muungano katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
Onesho la mbwa wa polisi kwenye sherehe za miaka 53 ya Muungano katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
Onesho la Komandoo wawili kuvuta lori la tani 7 kwa mikono kwenye sherehe za miaka 53 ya muungano katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
Kikosi cha Komandoo wa JWTZ kikitoa heshima kwenye sherehe za miaka 53 ya Muungano katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.(Picha zote na Ikulu)


No comments: