Tuesday, April 25, 2017

TUKIO KATIKA PICHA: DED NAMTUMBO AKIPATA MAELEZO JUU YA UTAALAMU WA KUZALISHA MAZAO KWA WINGI SHAMBANI

Mkurugenzi mtendaji Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, Christopher Kilungu mwenye koti na tai akipata maelezo kutoka kwa Abiud Gamba ambaye ni Mratibu wa mradi wa kilimo hifadhi mwenye vitabu mkononi juu ya namna ya kuzalisha mazao kwa wingi kwa njia ya kilimo hifadhi katika kijiji cha Namanguli wilayani humo, upande wa kulia kwa Mkurugenzi huyo ni Afisa kilimo wa wilaya ya Namtumbo Ally Lugendo wakiangalia shamba la mkulima Stephen Nguru aliyezalisha kwa kutumia utaalamu huo.

No comments: