Saturday, April 29, 2017

RAIS DOKTA MAGUFULI APOKEA ZOEZI LA UHAKIKI WA VYETI KWA WATUMISHI WA UMMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe na kufungua boksi kubwa lenye majina ya watumishi zaidi ya 9,932 waliobainika kuwa na vyeti vya kugushi mara baada ya jana kupokea taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti hivyo kwa watumishi wa umma kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora, Angela Kairuki katika ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia majina hayo pamoja na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan mara baada ya kufungua boksi hilo kubwa lenye majina ya watumishi hao wa umma ambao wamegushi vyeti vyao. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan wakiangalia vitabu vyenye majina ya watumishi wa umma zaidi ya 9,932 waliogushi vyeti vyao vya elimu ya Sekondari. (Picha na IKulu)


No comments: