Friday, January 4, 2013

AKIFAFANUA JAMBO KWA WAJUMBE WA ALAT MKOA



Mwenyekiti wa kikundi cha  Lwika wilaya ya Nyasa, Mputa Kumburu (kulia) akifafanua jambo hivi karibuni kwa wajumbe wa ALAT mkoa wa Ruvuma, wakati wajumbe hao walipotembelea eneo la kilimo cha Mpunga katika kijiji cha Lundo wilayani humo.(Picha na Muhidin Amri)

No comments: