Friday, January 4, 2013

ODDO MWISHO AWATAKA WATENDAJI WA SERIKALI KUZINGATIA TARATIBU ZILIZOWEKWA

Mwenyekiti wa Jumuiya ya serikali za mitaa(ALAT) mkoa wa Ruvuma Oddo Mwisho, akizungumza na wajumbe wa jumuiya hiyo hivi karibuni katika  eneo la mradi wa kilimo cha mpunga kijiji cha Lundo wilayani Nyasa, wa pili kulia Mstahiki Meya wa manispaa ya Songea Charles Mhagama wakiwa na wajumbe wengine. Hata hivyo Mwisho alisisitiza kwa kuwataka watendaji wa serikali kuzingatia taratibu zilizowekwa ili miradi ya wananchi iweze kusonga mbele.(Picha na Muhidin Amri)

No comments: