Friday, January 4, 2013

RUIMBE AKIZUNGUMZA KATIKA HAFLA YA KUMUAGA MPEMBELE


Mkuu wa chuo cha Veta Songea Gidion Ole Ruimbe akizungumza wakati wa tafrija ya kumuaga aliyekuwa mkuu wa mafunzo wa chuo hicho Timoth Mpembele hayupo pichani, kati kati ni mkuu wa wilaya ya Songea Josepph Mkirikiti na kulia ni mama Mkirikiti.(Picha Muhidin Amri)

No comments: