Sunday, January 13, 2013

NAIBU WAZIRI WA MAJI AKIBADILISHANA MAWAZO NA MKUU WA MKOA WA RUVUMA MARA BAADA YA KUMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TANO MKOANI HUMO

Naibu waziri wa maji mhandisi Dkt. Bilinith Mahenge upande wa kulia, akimsikiliza mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu alipokwenda kumtembelea ofisini kwake mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku tano mkoani humo.(Picha na Muhidin Amri)


No comments: