Sunday, January 13, 2013

MAHENGE: JENGENI MIRADI YA MAJI KWA VIWANGO VINAVYOKUBALIKA


Naibu waziri wa maji mhandisi Bilinith Mahenge kulia, akisisitiza juu ya wataalamu wa maji kuhakikisha wanajenga miradi hiyo ya maji kwa kiwango bora. Anayeshuhudia upande wa kushoto ni Mbunge wa viti maalum mkoani Ruvuma, Injinia Stella Manyanya.(Picha na Muhidin Amri)

No comments: