Sunday, January 13, 2013

NAIBU WAZIRI WA MAJI AKIKAGUA TANKI LA MAJI AMBALO LIMEJENGWA NA UNDP

Naibu waziri wa maji mhandisi Dkt. Bilinith Mahenge akipanda kukagua tanki la maji safi na salama katika kijiji cha Ng'ombo wilayani Nyasa Ruvuma hivi karibuni akiwa katika ziara yake wilayani humo ya kukagua miradi ya maji ambayo imejengwa kwa msaada wa fedha kutoka shirika la maendeleo la kimataifa UNDP. Tanki hilo limejengwa kwa thamani ya shilingi milioni 298. (Picha na Muhidin Amri)




No comments: