Sunday, January 13, 2013

KARIBU NAIBU WAZIRI UZUNGUMZE NA VIONGOZI WA WILAYA YA NAMTUMBO



Mkuu wa wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma Abdul Lutavi akimkaribisha Naibu waziri wa maji mhandisi Bilinith Mahenge aliyekaa katikati, kwa lengo la kuzungumza na viongozi wa wilaya hiyo. Kulia ni mkurugenzi wa wilaya hiyo Mohamed Maje.(Picha na Muhidin Amri)

No comments: