Sunday, January 13, 2013

STELLA MANYANYA AKISISITIZA JAMBO KWA NAIBU WAZIRI



Mbunge wa viti maalum mkoani Ruvuma mhandisi Stella Manyanya kushoto akisisitiza jambo kwa Naibu waziri wa maji mhandisi Bilinith Mahenge, wakati waziri huyo alipokuwa katika ziara yake wilayani Nyasa.(Picha na Muhidin Amri)

No comments: