Sunday, January 13, 2013

NAMTUMBO WATAKIWA KUWA WABUNIFU KATIKA UJENZI WA MIRADI YA MAJI

Naibu waziri wa maji mhandisi Dkt. Bilinith Mahenge akizungumza na viongozi wa wilaya ya Namtumbo, ambapo aliwataka kuwa wabunifu wa miradi ya maendeleo ikiwemo ya maji badala ya kusubiri misaada kutoka serikalini hali inayozidisha kuongezeka kwa umasikini wa wilaya hiyo. Kushoto ni mkuu wa wilaya hiyo Abdul Lutavi na kulia mkurugenzi wa wilaya  Mohamed Maje.(Picha na Muhidin Amri)

No comments: