Sunday, January 13, 2013

VIONGOZI WA WILAYA YA MBINGA WATAKIWA KUFUATILIA KWA KARIBU UJENZI WA MIRADI YA MAJI AMBAYO INAENDELEA KUJENGWA WILAYANI HUMO



Mkuu wa wilaya Mbinga Senyi Ngaga aliyekaa upande wa kulia, akimsikiliza Naibu waziri wa maji mhandisi Bilinith Mahenge wakati akitoa maagizo kwake juu ya ufuatiliaji wa miradi ya maji inayoendelea kutekelezwa katika wilaya hiyo.(Picha na Muhidin Amri)

No comments: