Sunday, January 13, 2013

KIONGOZI AKIPOKEA MAELEZO

Mhandisi wa maji wilaya ya Mbinga Evaristo Ngole kushoto akimfafanulia jambo Naibu waziri wa maji Mhandisi Dkt. Bilinith Mahenge juu ya kukamilika kwa   ujenzi wa tangi la maji na huduma ya   maji katika kijiji cha Ng'ombo wilayani Nyasa, Ruvuma ulivyokamilika ambapo utasaidia kupunguza tatizo kubwa la upatikanaji wa maji katika kijiji hicho.(Picha na Muhidin Amri)

No comments: