Sunday, January 13, 2013

KIONGOZI AKITOA NENO MARA BAADA YA KUKAGUA MRADI WA MAJI

Naibu waziri wa maji mhandisi Dkt. Bilinith Mahenge akizungumza mara baada ya kuona mradi wa maji katika kijiji cha Peramiho A  wilayani Songea mkoani Ruvuma.(Picha na Muhidin Amri)

No comments: