Friday, January 4, 2013

MPEMBELE AKIZUNGUMZA KATIKA HAFLA YA KUMUAGA ILIYOFANYIKA MJINI SONGEA

Aliyekuwa mkuu wa mafunzo chuo cha VETA Songea ambaye sasa amehamishiwa mkoa wa Singida Timoth Mpembele, akizungumza wakati wa tafrija fupi ya kumuaga iliyoandaliwa na uongozi wa veta Songea katika ukumbi wa Serengeti Pub mjini Songea, wa pili kushoto mkuu wa chuo hicho Gidion OleRuimbe na wa pili kulia mkuu wa wilaya ya Songea Joseph Mkirikiti na kulia mama Mkirikiti.(Picha na Muhidin Amri)

No comments: