Friday, January 4, 2013

WAJUMBE WA ALAT RUVUMA WAKIANGALIA MTARO WA KUPELEKA MAJI SHAMBANI KWA AJILI YA KILIMO CHA MPUNGA



Baadhi ya wajumbe wa ALAT mkoa wa Ruvuma, wakiangalia mtaro mmojawapo katika mradi wa shamba la mpunga Mbamba bay wilayani Nyasa hivi karibuni walipokuwa katika kikao chao kilichofanyika katika mji wa Mbamba bay.(Picha na Muhidin Amri)

No comments: