Sunday, January 13, 2013

NAIBU WAZIRI AKIZUNGUMZA NA WATAALAMU WA MAJI

Naibu waziri wa maji mhandisi Bilinith Mahenge wa kwanza kushoto, akizungumza na watumishi wa Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mji wa mbinga(MBIUWASA) hivi karibuni alipokuwa katika ziara yake wilayani humo.(Picha na Muhidin Amri)

No comments: