Tuesday, May 7, 2013

MKURUGENZI WA TAKUKURU AWASILI RUVUMA, AWATAKA VIONGOZI WA DINI KUELIMISHA WAUMINI WAWE WAADILIFU NA KUACHANA NA VITENDO VYA RUSHWA

Mkurugenzi mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini(TAKUKURU) Dokta Edward Hosea amewasili hapa mkoani Ruvuma, na kuwataka viongozi wa dini kuendeleza dhana ya kutambua kuwa Rushwa ni miongoni mwa dhambi inayokatazwa katika vitabu vya dini, na badala yake kuwakumbusha waumini wao kutenda mema na kuwa waadilifu.(Picha na Mwandishi wetu)

No comments: